Kusudi la maisha ya mwanadamu ni mambo mawili, kupenda na kujifunza. Tunaendeshwa katika miaka yetu ya mwanzo na ego zetu; zinahitaji usikivu kwetu wenyewe na wale walio karibu yetu. Kwa maneno mengine sisi ni wabinafsi na tanafuta ubinafsi. Hii ni kawaida na asili tu kwani tuna tamaa ya kuishi. Kwa watu ambao wanazaliwa katika mazingira magumu hii inaweza kuwa… Read more →
Monthly Archives: February 2019
Zawadi Kubwa Kuliko Zote
Zawadi kubwa mtu anayoweza kupokea ni ile ya kupanua Ufahamu. Zawadi nyingi huzorota, kufifia na baada ya muda hutupwa na kubadilishwa. Hata hivyo, Zawadi ya kupanua Ufahamu ni ya kudumu na inabakia na mtu kwa maisha yake yote. Ni bure kabisa kwani haikadiriki. Milele hakuna malipo kwa ajili ya Mantra au Kuanzishwa (Initiations). Walimu wetu hutafakari “Kanuni ya Lipia… Read more →